LIST YA WABUNGE TEULE TANZANIA BARA HII HAPA
No.MBUNGEJIMBOCHAMA1Dk Charles TizebaBuchosaCCM2Nimrod MkonoButiamaCCM3Omar BadwelChilonwaCCM4Kanyasu JohnGeita MjiniCCM5Pudensiana KikwembeKavuuCCM6Sixtus MapundaMbinga MjiniCCM7Hassan...
View ArticleTB JOSHUA AWASILI JIJINI DAR KUHUDHURIA KUAPISHWA KWA MH.JPM KESHOKUTWA
TB JOHUA AKIWA IKULU DAR ES SALAAM NA MH.RAIS DKT. JAKAYA KIKWETERAIS MTEULE MH.JP MAGUFULI ALIPOMPOKEA TB JOSHUA JIJINI DSM LEO
View ArticlePAPA WEMBA NDANI YA BONGO TAYARI KWA Tamasha la Karibu Music Festival 2015
.Kwa habari zaidi tembelea www.johnbadi.blogspot.com/
View ArticleUZINDUZI WA FILAMU MPYA YA JAMES BOND JIJINI DAR ES SALAAM
Mwigizaji Wema Sepetu (kushoto) akifurahia jambo na mwakilishi wa kampuni ya QWAY International inayosambaza kinywaji cha Belvedere Vodka nchini, Tanya Mulamula, wakati wa hafla ya uzinduzi wa...
View ArticleTIMU YA TAIFA YA ALGERIA KUWASILI TANZANIA KESHO
KIKOSI cha wachezaji 24 wakiwepo nyota wanaokipiga nje ya mnchi wa timu ya Taifa ya Algeria kinatarajiwa kuwasili Tanzania kesho kwa ndege binafsi ya kukodi.Msafara huo utakuwa na watu 65 ambapo kati...
View ArticleYALIYOJILI TAMASHA LA KITCHEN PARTY GALA
Jumapili iliyoisha ya tarehe 08.11. 2015, wanawake mbali mbali jijini Dar es salaam walikutana katika tamasha la kitchen party gala likiwa limebeba ujumbe wa mwanamke simama na timiza ndoto...
View ArticleWAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AAPISHWA
Rais Dkt. John Pombe Magufuli, akimwapisha Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, kuwa Waziri Mkuu wa awamu ya tano, wakati wa sherehe hizo zilizofanyika leo kwenye Viwanja vya Ikulu ndogo Chamwino mjini...
View ArticleTRA KAZINI
MAMLAKA ya MapatoTanzania(TRA), imeanzaoperesheni maalumu yakunasa wafanyabishara wakubwaambao wengine ni wadaiwa suguambapo wanadaiwa na mamlaka hiyohuku wafanyabishara wa duka la simula Sapna...
View ArticleKIMENUKA TRA
Raisi wa Tanzania, Dkt John Pombe Joseph Magufuli amemsimamisha kazi, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Rished Bade kufuatia kasoro kubwa za kiutendaji zilizobainika katika Mamlaka ya...
View ArticleSHEIKH ISSA PONDA AACHIWA HURU
MAHAKAMA ya hakimu mkazi Morogoro imemuachia huru leo Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda aliyekuwa akituhumiwa kwa makosa ya uchochezi baada ya mahakama kutoridhishwa...
View Article